Diamond Platnumz – Nawaza LYRICS

Diamond Platnumz – Nawaza LYRICS

Diamond Platnumz – Nawaza LYRICS

DOWNLOAD MP3 AUDIO / MP4 VIDEO HERE


Nawaaa…naawaaa…naawaa…nawaza tu
Nawaaa…naawaaa…naawaa…nawaza tu

Nawaza pru mpaka maka Ruge amerudi tena
Je kwa huu mziki wa sasa sijui nini angesema!?
Na nimejifunza binadamu kweli hawana jema
Yani mtoto unaemtunza ndo anakuombea ukilema
Nashangaa

Nawaza rayvanny Vanny na Elizabeth michael lulu clip zao zikivuja
Ndoa ya majizo itaimarika eti au ndo ataifoja?!
Nawaza muchana,usiku jibu halifiki
Wanaonitukana, tuna bifu au ilimradi kiki?!
Nawaza kina Kimambi bwana wangekua wagawa ridhiki
Hivi kweli ningejulikana si wangenizima nsisike
Nlowaza leo nshawaza sana kina Kiba ugomvi kipi?!
Nikagundua ni ushamba na ujana wa kugombania mashabiki

Chorus
Nawaa…naaawaaa…naawaaa…nawaza tu
Nawaa…naaawaaa…naawaaa…nawaza tu
Oooh nawaza

Huenda Steven Kanumba angelikuwepo hai
Nawaza movie zetu pia tungejidai
Nawaazaa hivi kombe la dunia hatufikagi why?!
Nawaza,tatizo ni team au uongozi haufai
Mawazo mengine mtanange bora tuache yataleta ukakasi
Je angekuepo Muzee Nyange,Uncle Shamte angepata nafasi?!
Nawaza ka ngekua na Wema Sepetu hadi leo sijui ngekua nshafulia au zaidi maendeleo

Ooh nawaza siku nikifa sijui wasafi itakufa
Nawaza sijui maradhi ama ajali itanikuta
Nawaza oh Mama Dangote nani chozi atamfuta
Nawaza sijui nyimbo zangu watazikumbuka
Eeeh
Nlowaza leo nshawaza sana nnachoshindwa kuwa kipi
Nikagundua naepusha lawama maana najijua kwa kucheat

Chorus
Nawaa…naaawaaa…naawaaa…nawaza tu
Nawaa…naaawaaa…naawaaa…nawaza tu
Oooh nawaza

Instruments..
Wasafi…
Ayo Lizer..


 

No comments:

Powered by Blogger.